Habari za michezo
YANGA WALAMBA SHAVU KUTOKA SHIRIKA LA BIMA LA NIC
Staff Desk
October 9, 2023
12:34 pm
Mabingwa watetezi wa Ligi kuu Kandanda Tanzania Bara klabu ya Yanga imeingia mkataba na shirikia la bima la NIC na sehemu ya makubaliano ya mkataba huo NIC itaanza kutoa zawadi kwa mchezaji wa Yanga ambaye amefanya vizuri kila mwezi.(POTM)
Mabingwa watetezi wa Ligi kuu Kandanda Tanzania Bara klabu ya Yanga imeingia mkataba na shirikia la bima la NIC na sehemu ya makubaliano ya mkataba huo NIC itaanza kutoa zawadi kwa mchezaji wa Yanga ambaye amefanya vizuri kila mwezi.(POTM)
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.