Habari za Simba leo
Habari za michezo

UONGOZI WA SIMBA UMEFUNGUKA HAYA KUHUSU WACHEZAJI WAKE WALIOITWA

Staff Desk October 11, 2023 4:24 pm

Kuelekea mchezo wa African Football League klabu ya Simba imesema timu hiyo itaingia kambini kesho Alhamisi Oktoba 12, 2023 kwa ajili ya kujiweka sawa kwa ajili ya mchezo huo dhidi ya vigogo wa Misri Al Ahly katika dimba la Benjamin Mkapa.

Kuelekea mchezo wa African Football League klabu ya Simba imesema timu hiyo itaingia kambini kesho Alhamisi Oktoba 12, 2023 kwa ajili ya kujiweka sawa kwa ajili ya mchezo huo dhidi ya vigogo wa Misri Al Ahly katika dimba la Benjamin Mkapa. Aidha Simba SC imezungumzia wachezaji walioitwa kwenye timu zao za Taifa ambapo Meneja wa habari na mawasiliano wa klabu hiyo Ahmed Ally amebainisha kuwa klabu inaendelea na mazungumzo na mashirikisho ili wachezaji waliotwa wawahi kurudi kwa ajili ya kujiandaa kwa ubora zaidi.

KIONGOZI WA YANGA AFUNGUKA KUHUSU KUMFUKUZA ROBERTINHO UNATAKA KUISHUHUDIA SIMBA VS AL AHLY VIINGILIO HIVI HAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply