BIASHARA UNITED YASHINDWA KUJIENDESHA...WALIPIWA MADENI ZAIDI YA MIL 39...TIMU KUBADILISHWA JINA
Habari za michezo

MAMBO NI MOTO CHAMPIONSHIP KOCHA MWINGINE ATUPIWA VIRAGO

Staff Desk October 18, 2023 12:34 pm

Klabu ya @standunitedfc ‘Chama la Wana’ yenye maskani yake Shinyanga, imemfuta kazi kocha wake mkuu Zulkifri Iddy, kutokana na mwenendo usioridhisha wa timu hiyo inayoshiriki ligi daraja la kwanza (NBC Championship).

Hadi sasa Stand United FC imecheza michezo sita, imeshinda miwili, sare moja na kupoteza mitatu, ikiwa na alama 7 nafasi ya 11 kwenye msimamo.

Stand United FC inakuwa timu ya pili ya NBC Championship msimu huu kumfuta kazi kocha wake, baada ya FGA Talents FC ya mjini Morogoro iliyomfuta kazi Flugence Novatus

BENZEMA AHUSISHWA NA UGAIDI KUFUATIA SAKATA PALESTINA JANJA YA MAXI KUMBE IKO HAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply