Habari za michezo

BENZEMA AHUSISHWA NA UGAIDI KUFUATIA SAKATA PALESTINA

Staff Desk October 18, 2023 12:31 pm

Waziri wa Mambo ya ndani wa nchini Ufaransa, Gerald Darmanin, anamshutumu mchezaji wa ‘klabu’ ya Al-Ittihad ya Uarabuni, Karim Benzema kwa kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Muslim Brotherhood, baada ya kiungo huyo, kuonesha kuunga mkono Taifa la Palestina katika mzozo wao na Israel, siku za hivi karibuni.

Inadaiwa kuwa Benzema alitumia ukurasa wake wa Twitter kuandika ujumbe ambao aliwataka watu waiombee Palestina na raia wake walio kuwa waathirika wa milipuko dhidi ya Israel.

Kwa mujibu wa tovuti mbalimbali inadaiwa baada ya ujumbe huo, mchezaji huyo wa zamani wa Real Madrid, alipokea ukosoaji mkubwa kutoka kwa watu mbalimbali akiwemo waziri huyo.

BANGALA KUIKOSA YANGA ISHU IKO HIVI MAMBO NI MOTO CHAMPIONSHIP KOCHA MWINGINE ATUPIWA VIRAGO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply