Jezi mpya za Simba leo
Habari za michezo

SIMBA HAKUNA KUPOA KUSEPA LEO JIONI KUWAFUATA AL AHLY

Staff Desk October 21, 2023 4:50 pm

Kikosi cha Simba SC kinatarajia kuondoka nchini jioni hii ya leo Oktoba 21, 2023 kuelekea nchini Misri kwa ajili ya kuvaana na Al Ahly.

Simba wanakwenda Misri kuvaana na Al Ahly baada ya kulazimishwa sare ya goli 2-2 kwenye mchezo wa robo fainali ya kwanza ya mashindano ya African Footbal League.

“Tunakwenda Misri sio kinyonge maana hakuna cha kututisha, tulicheza vizuri hapa nyumnani lakini matokeo yametusaliti lakini tunakwenda kule kumalizia kazi,” alisema Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally.

KOSA LA SIMBA LILIKUWA HAPA DHIDI YA AL AHLY SIMBA WATUMA VIGOGO KABLA YA KIKOSI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply