Habari za Simba SC
Habari za michezo

AHMED ALLY ATANGAZA USHINDI DHIDI YA YANGA……. MVUA YAHUSISHWA

Staff Desk November 1, 2023 11:11 am

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema kitendo cha mvua kunyesha kuelekea kwenye mchezo wao wa dabi, ni ishara nzuri ya ushindi kwao.

Ahmed amefunguka hayo mapema hii leo Novemba Mosi, 2023 alipokuwa kwenye mkutano wa kuwatangaza wadhamini wao wapya Kampuni ya Serengeti Breweries.

“Mvua ni ishara nzuri kwa Simba. Tukiwa katika wiki hii yenye thamani kubwa ya Kariakoo Derby tumewaletea tukio lingine kubwa la kihistoria kati ya Simba na Serengeti,” alisema Ahmed Ally.

AZIZ KI AWAPA KITETE SIMBA KUELEKEA DABI YA KARAKOO KUELEKEA DABI YA KARIAKOO SIMBA WALAMBA DILI HILI LA KIBABE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply