HALI TETE UWANJA WA MKAPA…MVUA KUBWA YANYESHA UWANJA UMEJAA MAJI
Habari za michezo

CAFYAWATILIA UGUMU WAPINZANI WA YANGA

Staff Desk November 3, 2023 10:31 am

Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) limeukataa uwanja wa Cape Coast ambao klabu ya Medeama ilikuwa imepanga kuutumia katika michezo yake ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.

Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) limeukataa uwanja wa Cape Coast ambao klabu ya Medeama ilikuwa imepanga kuutumia katika michezo yake ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika. Medeama imepangwa kundi D pamoja na klabu za Young Africans, Al Ahly na CR Belouzdad.

STAA HUYU WA SIMBA ANAJUTA KUONDOKA YANGA, STORI KAMILI IKO HIVI GAMONDI ATOA KAULI YA USHINDI BAADA YA DAKIKA 130 DABI YA KARIAKOO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply