Habari za Yanga
Habari za michezo

HUKO YANGA UNAAMBIWA UBABE UBABE TU

Staff Desk November 9, 2023 6:31 am

Vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara Timu ya Yanga imeendelea kujikita kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya NBC kwa kufikisha alama 24 baada ya michezo 9.

hiyo ni baada ya kuichapa Coastal Union bao 1-0 katika mchezo mgumu uliopigwa Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga.

Bao pekee la ushindi la Yanga katika mchezo wa leo limefungwa na Clement Mzize alieingia kutokea benchi akichukua nafasi ya Kennedy Musonda.

Bado mambo yanazidi kuwa magumu kwa Coastal Union ambao katika michezo yao 9 wamshinda mchezo mmoja pekee.

KUMBE PACOME HAMNA KITU SINGIDA FG HALI SIO SHWARI LIGI KUU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply