Tetesi za Usajili Yanga
Habari za michezo

ASEC WATUA NCHINI KUWAKABILI SIMBA

Staff Desk November 23, 2023 11:23 am

Kikosi cha klabu ya ASEC Mimosas kimeshawasili nchini Tanzania tayari kwa maandalizi ya Mchezo wao dhidi ya wenyeji Simba SC utakaofanyia katika Uwanja wa mkapa siku ya Jumamosi hii.

Kikosi cha klabu ya ASEC Mimosas kimeshawasili nchini Tanzania tayari kwa maandalizi ya Mchezo wao dhidi ya wenyeji Simba SC utakaofanyia katika Uwanja wa mkapa siku ya Jumamosi hii. Simba wanaikaribisha ASEC Mimosas katika mchezo wa kwanza wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.

HUO MKWARA WA SIMBA KWA ASEC SIO POA TANZANIA INAPASWA KUAMINI VIJANA TIMU YA TAIFA… BASHIRI NA CHEZA KASINO USHINDE…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply