Home Habari za michezo KIMEUMANA YANGA LEO HUKO UGENINI CAFCL Habari za michezoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la BongonewsUncategorizedYanga SC KIMEUMANA YANGA LEO HUKO UGENINI CAFCL By Staff Desk - November 24, 2023 0 KLABU ya Yanga leo inashuka dimbani Algeria katika mchezo wa kwanza michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kundi D dhidi ya CR Belouizdad. Mchezo huo utafanyika kwenye uwanja wa 5 July 1962 uliopo mjii mkuu wa nchi hiyo, Algiers. Mchezo mwingine wa michuano hiyo leo ni wa kundi A ambapo Pyramids itakuwa uwanja wa nyumbani wa 30 June uliopo Cairo, Misri dhidi ya TP Mazembe.