CHAMA ASHTUSHWA KAPOMBE NA TSHABALALA KUACHWA STARS WADAU WAZUNGUMZA
Habari za michezo

KAPTEN MSAIDIZI SIMBA ATOA KAULI KISHUJAA HUKO BOTSWANA

Staff Desk December 2, 2023 2:24 pm

Kapteni Msaidizi wa Simba SC, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ ameahidi kuondoka na alama zote tatu leo katika mchezo wao dhidi ya Jwaneng Galaxy nchini Botswana.

Akizungumzia maandalizi ya mchezo huo unaotarajiwa kupigwa leo Desemba 2, 2023 majira ya saa 10 jioni, Tshabalala amesema, wachezaji wote wana morali ya mchezo huo hivyo wanaamini watapata matokeo.

“Uzuri hali ya hewa ni kama ya nyumbani, wachezaji wote morali ipo juu ukizingatia mara ya mwisho tulipokuja kwenye uwanja huu tulipata matokeo, tunaomba mashabiki watuombee inshallah tutashinda,” alisema Tshabalala.

KUMBE KWENYE KUNDI ZIMA YANGA NDIO KIBONDE HII HAPA NDIO NAFASI YA SIMBA,YANGA CAFCL

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply