Habari za Yanga
Habari za michezo

SARE YA YANGA vs AL AHLY ILIVYOMNEEMESHA PACOME…..HII NDIO KUFA KUFAANA SASA

Staff Desk December 5, 2023 4:04 am

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua ameshinda bao bora la wiki katika mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika zilizochezwa mwisho wa wiki.

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua ameshinda bao bora la wiki katika mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika zilizochezwa mwisho wa wiki. Pacome alifunga bao hilo la kusawazisha na la kwanza kwa Yanga katika mchezo w kundi D uliochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo uliomaliza kwa sare ya 1-1 dhidi ya Al Ahly

HESABU YA POINTI 10…… HAYA SASA KAZI IANZE IHEFU NA SIKU 60 ZA MACHUNGU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply