Habari za michezo
YANGA WASHAANZA KISAMBAZA THANK YOU BEKI HUYU AANZISHA SAFARI RASMI
Staff Desk
December 5, 2023
12:02 pm
Klabu ya Young Africans itaachana na beki wake wa kati raia wa Uganda Gift Fred kwenye dirisha dogo la mwezi January.
Klabu ya Young Africans itaachana na beki wake wa kati raia wa Uganda Gift Fred kwenye dirisha dogo la mwezi January. Nyota huyo amekuwa hapati namba kwenye kikosi cha Yanga tangu alipojiunga na kikosi hicho kwenye dirisha kubwa la usajili msimu huu.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.