Afisa Habari wa Yanga SC Ally Kamwe
Habari za michezo

ALLY KAMWE AINGIA UPEPO MBELE YA MADEAMA BAADA YA KUSHINDWA KUTAMBA DHIDI YA AL AHLY

Staff Desk December 5, 2023 11:56 am

Klabu ya Young Africans imesafiri kuelekea nchini Ghana alfajiri ya leo kwa ajili ya mchezo wa tatu wa hatua ya makundi ya Ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya Medeama.

Afisa habari wa klabu hiyo Ali Kamwe amesema wanatarajia kukutana na upinzani mgumu katika mchezo huo na hautakuwa mchezo rahisi.

Ali Kamwe amewaomba wadau na mashabiki wa soka nchini kuiombea timu yao na panapo majaaliwa watarejea na ushindi nchini.

Yanga ipo mkiani mwa kundi D ikiwa na alama moja pekee katika michezo miwili iliyocheza.

JEAN BALEKE AJIVISHA MABOMU ATOA KAULI NZITO KWA MASHABIKI WA SIMBA YANGA WASHAANZA KISAMBAZA THANK YOU BEKI HUYU AANZISHA SAFARI RASMI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply