MSEBIA ATUA MADEAMA
Zikiwa zimepita siku tano tangu Medeama kuachana na Kocha Evans Adotey, jana Desemba 27 imemtambulisha Msebiar, Nebojsa Kapor. Medeama iliachana na Adotey baada ya kipigo…
Zikiwa zimepita siku tano tangu Medeama kuachana na Kocha Evans Adotey, jana Desemba 27 imemtambulisha Msebiar, Nebojsa Kapor. Medeama iliachana na Adotey baada ya kipigo…
BAADA ya kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, uliochezwa Desemba 20, Medeama ya…
Uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu zao ni kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana. Huo ni…
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kutoka EA Radio, Ibra Kasuga amefunguka kuhusu Klabu ya Yanga kuamua mashabiki zake waingie bure kwenye mchezo wao wa…
Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe amesema Ghalib Said Mohammed ‘GSM’ amenunua tiketi zote za mzunguko kwenye mechi ya marudiano dhidi ya Medeama…
Yanga inashuka jioni ya leo kwenye Uwanja wa Azam Complex katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar, lakini wakimaliza watarudi kibaruani katika Ligi…
Kikosi cha Medeama ya Ghana kinatarajiwa kuja nchini Jumapili Desemba 17 kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa raundi ya nne wa Ligi ya Mabingwa…
Ligi ya Mabingwa Afrika inaendelea kurindima tena leo Desemba 8, 2023 huku Wawakilishi wa NCHI, Young Africans SC wakitupa karata yao ya tatu ya hatua…
Mchambuzi wa soka nchini Shafii Dauda amesema hana hofu na Yanga lakini wanatakiwa kuwa makini sana leo kwenye mechi yao dhidi ya Medeama huko nchini…
Mshambuliaji hatari wa Medeama FC, Jonathan Sowah amerudi rasmi kwenye kikosi hicho baada ya kukosekana kwenye mchezo uliopita dhidi ya CR Belouizdad kutokana idadi ya…