Habari za michezo

MSHAMBULIAJI HATARI WA MADEAMA AREJEA KIKOSINI KUIMALIZA YANGA

Staff Desk December 7, 2023 6:45 am

Mshambuliaji hatari wa Medeama FC, Jonathan Sowah amerudi rasmi kwenye kikosi hicho baada ya kukosekana kwenye mchezo uliopita dhidi ya CR Belouizdad kutokana idadi ya kadi za njano alizokuwa nazo.

Mshambuliaji hatari wa Medeama FC, Jonathan Sowah amerudi rasmi kwenye kikosi hicho baada ya kukosekana kwenye mchezo uliopita dhidi ya CR Belouizdad kutokana idadi ya kadi za njano alizokuwa nazo. Sowah mwenye miaka 24 ndiyo moja ya wachezaji hatari ndani ya kikosi hicho, akiwa ameweka wavuni mabao 6 hadi sasa yakiwemo mawili kwenye Caf Champions League

GAMONDI ABADILI MFUMO YANGA SC MTIBWA SUGAR WAJA NA MIKAKATI HII KUOKOA JAHAZI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply