Habari za michezo
MSHAMBULIAJI HATARI WA MADEAMA AREJEA KIKOSINI KUIMALIZA YANGA
Staff Desk
December 7, 2023
6:45 am
Mshambuliaji hatari wa Medeama FC, Jonathan Sowah amerudi rasmi kwenye kikosi hicho baada ya kukosekana kwenye mchezo uliopita dhidi ya CR Belouizdad kutokana idadi ya kadi za njano alizokuwa nazo.
Mshambuliaji hatari wa Medeama FC, Jonathan Sowah amerudi rasmi kwenye kikosi hicho baada ya kukosekana kwenye mchezo uliopita dhidi ya CR Belouizdad kutokana idadi ya kadi za njano alizokuwa nazo. Sowah mwenye miaka 24 ndiyo moja ya wachezaji hatari ndani ya kikosi hicho, akiwa ameweka wavuni mabao 6 hadi sasa yakiwemo mawili kwenye Caf Champions League
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.