Habari za Yanga
Habari za michezo

YANGA LEO WASIPOKUWA MAKINI HILI NDIO LITAWAKUTA

Staff Desk December 8, 2023 3:20 pm

Mchambuzi wa soka nchini Shafii Dauda amesema hana hofu na Yanga lakini wanatakiwa kuwa makini sana leo kwenye mechi yao dhidi ya Medeama huko nchini Ghana.

Shafii ametoa angalizo hilo akidai Medeama wanauhitaji pia huu mchezo wa leo.

“Sina hofu na Yanga lakini nawapa angalizo, wanaenda kukutana na timu ambayo ina matarajio makubwa, jukumu kubwa ambalo wanalo ni jinsi gani watahakikisha wanapata alama tatu.”

“Wasipokuwa na mipango thabiti pointi tatu wanaweza wakazikosa vile vile, lakini ukiniuliza kuhusu matumaini sina hofu nauachia mpira uweze kutoa majibu,” alisema Shafii.

SIMBA QUEEN MGUU SAWA KAMA JESHINI NGAO YA JAMII HIZI HAPA DAKIKA 90 ZA MAAMUZI MAGUMU NA YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply