Habari za Yanga
Habari za michezo

KUISHUHUDIA YANGA vs MADEAMA KIINGILIO NI MIGUU YAKO GSM AFANYA KWELI

Staff Desk December 18, 2023 6:41 am

Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe amesema Ghalib Said Mohammed ‘GSM’ amenunua tiketi zote za mzunguko kwenye mechi ya marudiano dhidi ya Medeama itakayopigwa Jumatano ijayo Uwanja wa Mkapa baada ya mechi ya awali kumalizika kwa sare ya bao 1-1 mjini Kumasi, Ghana.

Kamwe amesema siku hiyo itakuwa ni GSM Day na Mashabiki wa Yanga siku hiyo ili kumpa heshima hiyo GSM wavae jezi ya Yanga yenye nembo ya GSM.

Yanga inahitaji ushindi ili kujiweka pazuri kwenye kundi linaloongozwa na mabingwa watetezi, Al Ahly ya Misri wanaofuatiwa na Medeama kisha CR Belouizdad ya Algeria.

HAWACHOMOKI BENCHIKHA NGUVU ZOTE KWA WYDAD SASA AZIZ KI NA ISHU YA KIATU CHA UFUNGAJI BORA LIGI KUU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply