Habari za Simba
Habari za michezo

KOCHA MPYA SIMBA AZIDI KUKINUKISHA CAF….’AJIOKOTEA MAUJIKO’ KAMA YOTEE…

admin December 7, 2023 6:21 pm

KOCHA Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amepenya katika orodha ya makocha watatu bora wanaowania tuzo za CAF 2023.

Ikumbukwe kuwa kocha huyo ni mrithi wa mikoba ya Roberto Oliveira aliyefutwa kazi kutokana na kupoteza mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya watani wa jadi Yanga.

Oliveira alikuwa shuhuda ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-5 Yanga ambapo bao la Simba lilifungwa na mshambuliaji Kibu Dennis dakika ya 8 aliposawazisha bao la Kennedy Musonda alyefunga bao dakika ya tatu.

Tuzo hizo za CAF zitafanyika Jumatatu Desemba 11. Benchikha anachuana na Walid Regraui WA Morocco na Alidu Cisse wa Senegal ambaye anapewa chapuo kubwa la kusepa na tuzo hiyo.

KISA PASCAL WAWA….RUNGU LA FIFA LATUA SINGIDA …. CHAMA AANZA BALAA LAKE MSIMBAZI….BENCHIKHA ATAJWA KUWA SABABU…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply