Habari za michezo

NGAO YA JAMII WANAWAKE KIVUMBI LEO FAINALI

Staff Desk December 12, 2023 12:39 pm

JKT Queens na Simba Queens zinashuka dimbani Dar es Salaam leo katika fainali ya Ngao ya Jamii wanawake 2023.

Mchezo huo utafanyika kwenye uwanja wa Azam Complex ulipo Chamazi.

Kabla ya fainali kutafanyika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu na nne kati ya Yanga Princess na Fountain Gate Princess.

MAYELE ALISTAHILI TUZO MBELE YA HUYU MWAMBA SIMBA YAIBIGA MKWARA WA KIBABE WYDAD

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply