Home Habari za michezo NGAO YA JAMII WANAWAKE KIVUMBI LEO FAINALI Habari za michezoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la BongonewsUncategorized NGAO YA JAMII WANAWAKE KIVUMBI LEO FAINALI By Staff Desk - December 12, 2023 0 JKT Queens na Simba Queens zinashuka dimbani Dar es Salaam leo katika fainali ya Ngao ya Jamii wanawake 2023. Mchezo huo utafanyika kwenye uwanja wa Azam Complex ulipo Chamazi. Kabla ya fainali kutafanyika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu na nne kati ya Yanga Princess na Fountain Gate Princess.