Simba SC
Habari za michezo

SIMBA KUWATUMIA KAGERA SUGAR KAMA DARAJA LIGI KUU, UONGOZI WAFUNGUKA HAYA

Staff Desk December 13, 2023 1:53 pm

Ahmed Ally ambaye ni Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, amesema wanahitaji ‘ufufuo’ kupitia Kagera Sugar Ijumaa hii katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC.

Ahmed ametoa kauli hiyo mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa Simba Queens dhidi ya JKT Queens katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar na Simba kuibuka na ushindi wa penalti 5-4.

“Tunahitaji ufufuo kupitia Kagera Sugar, tukishamalizana na Kagera tutahamia kwa Wydad AC mchezo ambao hakuna mwanaSimba atabaki nyumbani, wote twendeni Benjamini Mkapa kuhakikisha tunamfanya vibaya Wydad,” alisema Ahmed.

KATWILA AFUNGUKA KUHUSU MCHEZO WA YANGA TUTAKACHOMFANYA WYDAD ATAJUTA KUJA….. AHMED ALLY

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply