Habari za Simba
Habari za michezo

BENCHIKHA AFUNGUKA JINSI WATAKAVYOCHUKUA POINTI TATU MBELE YA WYDAD

Staff Desk December 19, 2023 11:16 am

Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha amesema anafahamu mchezo wa leo dhidi ya Wydad AC itakuwa ngumu lakini ataingia kwa umakini mkubwa.

Amesema, mchezo huo unahitaji nguvu ya pamoja ili kuhakikisha wanapata ushindi ili waweze kusonga mbele.

“Mechi hii ni muhimu kwetu kupata ushindi ili kujiweka kwenye mazingira mazuri ya kusonga mbele hatua inayofuata, tunatakiwa kuwa na nguvu ya pamoja na umakini mkubwa, wachezaji wangu wanao uwezo wa kulitimiza hili na wanajiamini kwa ajili ya kushinda mchezo wa kesho dhidi ya Wydad,” alisema Benchikha.

YANGA NA MCHONGO HUU LIGI YA MABINGWA YANGA NAO WAJIPANGA HIVI DHIDI YA MADEAMA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply