Kiungo wa zamani wa Barcelona na Man City, Yaya Touré atoa utabiri wake wa Timu za Taifa zenye nafasi ya kushinda kombe la Mataifa barani Afrika AFCON 2024 Nchini Ivory Coast.
Yaya ambae ni raia wa Ivory Coast amezitaja timu tano ambazo anaona zina nafasi ya kufanya kweli mwakani.