KOMBE LA SHIRIKISHO LAVURUGWA NA SIASA...CAF WAINGILIA KATI...WATOA USHINDI WA MEZANI KWA TIMU HII
Habari za michezo

KOMBE LA SHIRIKISHO LAVURUGWA NA SIASA…CAF WAINGILIA KATI…WATOA USHINDI WA MEZANI KWA TIMU HII

Marce Ben Komba April 24, 2024 10:20 pm

Shirikisho la Sola Barani Afrika (CAF) limewapa Klab ya RS Berkane ushindi wa Mabao 3 dhidi ya USM Algers ya nchini Algeria.

Matokeo haya ni ya mchezo wa Kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho ambao mchezo huo hakuchezwa kutokana na Sababu za Kidiplomasia na Kisiasa kati ya Algeria na Morocco.

Pia CAF imewaagiza USM Algers kwenda Morocco kucheza Mchezo wao wa nusu fainali ya pili dhidi ya RS Berkane na kama
hawatafanya hivyo Watafungiwa.

KOCHA MSIMBAZI…SIMBA INJAKABILIWA NA WACHEZAJI WENGI WALIOKOSA KASI…ISHU NZIMA IPO HIVI KOCHA MFARANSA  ATELEKEZA TIMU HII BONGO..AGOMBANA NA WACHEZAJI NA VIONGOZI.