Habari za michezo
KOMBE LA SHIRIKISHO LAVURUGWA NA SIASA…CAF WAINGILIA KATI…WATOA USHINDI WA MEZANI KWA TIMU HII
Marce Ben Komba
April 24, 2024
10:20 pm
Shirikisho la Sola Barani Afrika (CAF) limewapa Klab ya RS Berkane ushindi wa Mabao 3 dhidi ya USM Algers ya nchini Algeria.
Matokeo haya ni ya mchezo wa Kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho ambao mchezo huo hakuchezwa kutokana na Sababu za Kidiplomasia na Kisiasa kati ya Algeria na Morocco.
Pia CAF imewaagiza USM Algers kwenda Morocco kucheza Mchezo wao wa nusu fainali ya pili dhidi ya RS Berkane na kama
hawatafanya hivyo Watafungiwa.