Abubakar
YANGA BABA LAO UBINGWA WA FA…SIMBA WAFUATA NYUMA
UNAWEZA kusema kwamba Klabu ya Yanga ni Baba lao kwenye michuano hii ya Shirikisho, ambapo imechukua ubingwa mara 7, ikufuatiwa na Simba mara 4....
BREAKING NEWS: SIMBA SC YAANZA NA MAGORI & NKWAMBI
Mnyama Simba SC ameanza kuonesha makucha yake baada ya kukaa kinyonge kwa misimu mitatu mtawalia bila ubingwa wa Ligi Kuu Bara, ambapo kwa miaka...
SIMBA SC KUSHUSHA WINGA… ANATOKA DR CONGO.. NI FUNDI HASWA
KLABU ya Simba wapo kwenye mazungumzo na mshambuliaji kutoka klabu ya AS Vita, Elie Mpanzu, ili kupata huduma yake.
Simba ipo kwenye mchakato wa kuboresha...