YANGA YA GAMONDI YAPIGA HESABU ZA MAKUNDI CAF
HUKU bado wakiwa hawajatinga hatua ya makundi wakisubiri mchezo wa marudiano hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi, ameanza kupigia…
HUKU bado wakiwa hawajatinga hatua ya makundi wakisubiri mchezo wa marudiano hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi, ameanza kupigia…
KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, amesema bado hawajamaliza kazi ya kusaka tiketi ya kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika na wanatakiwa kupambana…
Wakati anapata jeraha kubwa la goti (ACL) na kukaa nje kwa miezi 9, wengi walitafasiri ni mwisho wa Yacouba. Si hivyo tu, ikatokea anaachwa na…
KIUNGO wa Azam FC Adolf Mtasingwa, amejibu ule uvumi wa taarifa za yeye kujiunga na Yanga katika dirisha kubwa la usajili. “MUDA ndio muamuzi wa…
KATIKA hali isiyo ya kawaida, wapinzani wa Simba, Al Ahli Tripoli wamekodi walinzi binafsiΒ βbodyguardsβ kwa ajili ya kuwalinda wachezaji pamoja na benchi la ufundi…
YANGA imeondok leo majira ya saa 3:00 asubuhi kelekea Zanzibar tayari kwa mchezo wa marudiano wa raundio ya pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi…
Kiungo wa kimataifa wa Tanzania Feisal Salum Abdallah (Fei Toto) amepiga chini ofa ya pili kutoka Azam ambayo ilimtaka kuongeza mkataba mpya. Kwa sasa Fei…
SIKU za hivi karibuni kumeibuka taarifa za mchezaji wa Azam FC Feisal Salum Fei Toto, kuhitajika na vilabu vikubwa ndani na nje ya nchi ikiwemo…
KIUNGO wa Yanga Jonas Mkude maarufu kama Nungunungu amefunguka na kusema kwamba, yeye kama mchezaji hajawahi kumroga mchezaji mwenzake Mganda Khaled Aucho. Mkude aliyesajiliwa na…
Licha ya Yanga wikiendi iliyopita kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya CBE katika mechi ya mkondo wa kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini…