FEI TOTO ANA BALAA HUYO…MUDATHIR AWAPIGIA SIMU GUINEA
Nyie Huyo Fei Toto ana alaa huyo ule mshuti wake sio wa kudaka, Mudathir Yahya Abbas yeye anasema alimpigia simu Rais Samia na kumpa taarifa…
Nyie Huyo Fei Toto ana alaa huyo ule mshuti wake sio wa kudaka, Mudathir Yahya Abbas yeye anasema alimpigia simu Rais Samia na kumpa taarifa…
MNYAMA Simba inatakiwa kuwa makini sana na mshambuliaji wa Tripoli, Agostinho Cristóvão Paciência, maarufu kama Mabululu ambaye amekuwa akiitumikia timu ya Taifa ya Angola kutokana…
Timu ya Simba inatarajiwa kushuka uwanjani Jumapili hii kwenye mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika utakaopigwa nchini Libya…
AFISA Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally amewatania watani zao Yanga kama wanamtaka kiungo wao Yusuph Kagoma wasubiri misimu 10, ndiyo watamuacha akatafute changamoto…
MCHAMBUZI wa michezo wa EFM na TV E amesema kuwa kitasa wa Simba Abdulrazack Hamza aliyeonesha uwezo na kiwango kizuri katika mechi mbili za Tabora…
Katika kuhakikisha nyota wake wanaozitumikia timu za taifa wanaziwahi mechi zao za ugenini za mashindano ya klabu Afrika wiki ijayo, Yanga na Simba zimepanga utaratibu…
WAKATI Klabu ya Yanga inaendelea kujifua Dar es Salaam ikijiandaa na mchezo wa kwanza wa raundi ya pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya…
ALIYEWAHI kuwa mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele anayekipiga katika klabu ya FC Pyramids ya Misri, amefunguka na kuelezea ugumu anaokutana nao huko Misri. Mayele ameenda…
TANZANIA leo itashuka kwenye Uwanja wa Charles Konan Bannyo, uliopo mjini Yamoussoukro nchini Ivory Coast kucheza mchezo wa pili wa Kundi H, katika kampeni yake…
Bado mjadala mdomoni kwa mashabiki wa Soka hususani wale Simba, Yanga na Coastal ni hatma ya wachezaji wawili tu. Yusuf Kagoma na Lameck Lawi. Kwa…