YANGA YAFANYA BALAA…6 SIMBA MMOJA TU
YANGA BABA LAO. HATIMAYE usiku wa tuzo za Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2023/24 umegota mwisho na kila kitu kuwa wazi nani amekuwa nani…
YANGA BABA LAO. HATIMAYE usiku wa tuzo za Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2023/24 umegota mwisho na kila kitu kuwa wazi nani amekuwa nani…
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji βMoβ ameteua Kamati ya Mashindano ya klabu hiyo ambayo itakuwa na wajumbe saba.…
Kiungo mshambuliaji wa Yanga Sc, Stephanie Aziz Ki ameshinda tuzo ya mchezaji bora (MVP) wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara msimu wa 2023/24. Aziz…
Beki wa katiΒ wa Yanga SC na Timu ya taifa ya Tanzania, Ibrahim Bacca ameshinda tuzo ya beki Bora wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania…
Straika wa zamani wa Simba SC, Athuman Machupa amesema ili Joshua Mutale ajijengee ufalme ndani ya klabu hiyo, kiwango chake kiwe na mchango mkubwa akimsisitiza…
Mlinda mlango wa klabu ya Yanga Sc, Djigui Diarra ameshinda tuzo ya golikipa bora wa Michuano ya FA (CRDB FEDERATION CUP). Diarra amewashinda Khomein Abubakar…
Winga wa Yanga kutoka Afrika Kusini, Mahlatse Makudubela βSkuduβ, amesema amegundua mbinu mpya ya kupata muda zaidi wa kucheza kikosini. βKwa ushindani uliopo nimegundua kuwa…
STEPHEN Aziz Ki katika msimu wa 2023/24 alifunga jumla ya mabao 21 katika Ligi Kuu Bara ndani ya uwanja akiwa na tuzo yake mkononi kwa…
KLABU YA SIMBA ilipambana sana kuisaka saini ya winga machachari wa AS Vita, Elie Mpanzu lakini kuna wakati jitihada huwa hazizai matunda na ndicho kimetokea…
Shirikisho la soka Tanzania TFF limetoa orodha ya wanaowania tuzo za msimu wa 2023/24, zitakazotolewa Usiku wa Leo Agosti Mosi kwenye ukumbi wa The Super…