RASMI SASA, SENZO WA SIMBA NI MALI YA YANGA
UONGOZI wa Yanga, rasmi leo umemtambulisha Senzo Mbatha kuwa mfanyakazi wao ndani ya klabu hiyo akitokea Klabu ya Simba. Senzo alijiuzulu nafasi yake ndani…
UONGOZI wa Yanga, rasmi leo umemtambulisha Senzo Mbatha kuwa mfanyakazi wao ndani ya klabu hiyo akitokea Klabu ya Simba. Senzo alijiuzulu nafasi yake ndani…
UONGOZI wa Tanzania Prisons umesema kuwa sababu kubwa ya kuhamishia makazi yao mkoani Rukwa ni kupisha ukarabati wa hostel zao pamoja na uwanja wao…
Majembe tisa mapya Yanga Kwenye ulinzi bi balaa wapo wanne cheki namna walivyo hapa:- Mustapha Yassin beki kutoka Polisi Tanzania. Zawadi Mauya kiungo kutoka…
HAWA ni marafiki wa kitambo sasa wanaendelea kuwa marafiki ndani ya timu zao mpya namna hii:- Awesu Awesu v David Kissu Wote wapo zao…
TUISILA Kisinda na Tonombe Mukoko wachezaji wapya wa Klabu ya Yanga wanatarajiwa kuwasili nchini leo Agosti 20 majira ya saa saba mchana. Nyota hao…
KESHO, Agosti 21 ni vita kati ya Inter Milan v Sevilla kwenye fainali ya Kombe la Europa na mshindi atasepa na taji lake. Inter Milan…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Alhamisi
BAYERN Munich usiku wa kuamkia leo imeshinda kwa mabao 3-0 mbele ya Lyon kwenye mchezo wa nusu fainali hatua ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. …
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kiungo wao mshambuliaji Ibrahim Ajibu hakuwa na nafasi ndani ya kikosi cha kwanza kwa kuwa falsafa ya timu hiyo…
KIUNGO wa Simba, Francis Kahata raia wa Kenya leo Agosti 19 amerejea nchini Tanzania kuanza mazoezi na wachezaji wenzake katika Uwanja wa Simba Mo…