MAJEMBE MAPYA YA YANGA KUTUA MAPEMA KABLA YA SEPTEMBA SITA
BAADA ya Yanga kumalizana na majembe mawili ya kazi kwa dili la miaka miwili jana, Agosti 17 nchini Congo nyota hao wanatarajiwa kutua kesho,…
BAADA ya Yanga kumalizana na majembe mawili ya kazi kwa dili la miaka miwili jana, Agosti 17 nchini Congo nyota hao wanatarajiwa kutua kesho,…
MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu, ameikabidhi Kampuni ya Global Publishers Tuzo kutoka Benki ya CRDB Agosti 16, 2020, ikiwa ni shukrani ya kuthamini mchango…
LIGI Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 6,2020 kwa msimu wa 2020/21. Azam FC iliyo chini ya Kocha Mkuu, Arstica Cioaba wao wataanza…
NAHODHA wa Klabu ya Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang amekubali kusaini dili jipya la miaka mitatu ndani ya Klabu hiyo. Nyota huyo alikuwa kwenye mpango wa kuondoka…
HALI imeenda ndivyo sivyo katika usajili wa Eric Rutanga baada ya beki huyo kusema kuwa mabosi wa Yanga wamemchunia tangu asaini mkataba wa awali…
HIZI hapa mechi tano za mwanzo kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba msimu wa 2020/21:- Ihefu FC vs Simba SC, Septemba 6,…
TUNOMBE Mukoko mshambuliaji wa zamani wa AS Vita ya Congo amemalizana na Yanga kwa dili la miaka miwili. Nyota huyo anaungana na kiungo mwenzake…
Azam FC leo Agosti 17 imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Zimbabwe, Prince Dube, kutoka Highlanders FC. Dube ni mmoja ya washambuliaji wa…
TAARIFA za uhakika zinaeleza kuwa Yanga imemaliza na AS Vita na kumsajili mshambuliaji kinda wa AS Vita ya DRC, Tuisila Kisinda.Shughuli hiyo imefanyika jijini…
KIKOSI cha Simba leo Agosti 17 kimeanza maandalizi kwa ajili ya Ligi Kuu Bara pamoja na mechi yao ya siku ya Simba day inayotarajiwa…