SERIKALI YASHANGAZWA NA SAKATA LA MORRISON KUTUMIA MUDA MREFU
SERIKALI imesema kuwa inashangaa na suala la maamuzi ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Bernard Morrison kucheleweshwa kutolewa hukumu. Mwakyembe amesema kuwa suala hilo likifika mikononi…
SERIKALI imesema kuwa inashangaa na suala la maamuzi ya kiungo mshambuliaji wa Yanga, Bernard Morrison kucheleweshwa kutolewa hukumu. Mwakyembe amesema kuwa suala hilo likifika mikononi…
MWENYEKITI wa zamani wa Simba ambaye aliwahi kuwa Makamu wa Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) Ismael Rage amesema kuwa sakata la…
BREAKING: FARID Mussa, winga aliyekuwa anakipga ndani ya CD Tennerife ya Hispania leo ametangazwa rasmi kuwa mali ya Yanga kwa dili la miaka miwili.
Aliyekuwa beki wa kushoto wa Mbao, Emmanuel Charles, amefuzu vipimo vya afya, tayari kujiunga na Azam FC kwa ajili ya msimu ujao. Habari zinaeleza kuwa…
ULINZI mkubwa ulitawala jana kwenye Ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wakati kiungo mshambuliaji Mghana, Bernard Morrison akisubiria hukumu yake. Hiyo ikiwa ni siku…
KIPA namba moja ndani ya kikosi cha Biashara United, Daniel Mgore amesema kuwa kikubwa kinachombeba ndani ya uwanja ni kujiamini na kufanya kazi kwa kushirikiana…
MWENYEKITI wa Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF, Elias Mwanjala amesema watatenda haki katika suala la Bernard Morrison dhidi ya Yanga. Mwanjala…
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Wazir Junior, amesema anajisikia faraja kupata nafasi ya kucheza Yanga kwani aliweka ahadi kwa mama yake mzazi kabla hajafariki kuwa…
KIUNGO wa Yanga Bernard Morrison ametuma ujumbe kwa mashabiki wake akiwataka washushe presha kwa sasa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Morrison ametupia video akionekana…
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa beki mpya aliyetambulishwa na Yanga Agosti 9 bado ana mkataba ndani ya timu hiyo yenye maskani yake Morogoro. Kibwana…