RASMI YANGA YAMALIZANA NA MBUKINAFASO
YACOUBA Sogne, raia wa Burkina Faso amemalizana na Yanga kwa ajili ya kutumikia kikosi hicho kilicho kwenye maboresho kwa ajili ya msimu wa 2020/21.…
YACOUBA Sogne, raia wa Burkina Faso amemalizana na Yanga kwa ajili ya kutumikia kikosi hicho kilicho kwenye maboresho kwa ajili ya msimu wa 2020/21.…
MWINYI Zahera, ametambulishwa rasmi kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Gwambina FC ambayo imepanda daraja msimu huu wa 2019/20 na itashiriki Ligi Kuu Bara msimu…
BAADA ya kuwa na uhakika wa kuwakilisha nchi kimataifa kwenye Kombe la Shirikisho, uongozi wa Namungo umesema kuwa utasajili wachezaji nane wa kazi. Tayari Namungo…
KWA sasa kinachoendelea kwenye masuala ya michezo ni sakata la kiungo mshambuliaji wa Yanga, Bernard Morrison ambaye ishu yake ipo kwenye Kamati ya Hadhi ya…
LIVERPOOL imetangaza kuwa imemalizana na beki Kostas Tsimikas kutoka Klabu ya Olympiacos kwa dili la muda mrefu kwa dau linalotajwa kuwa ni pauni milioni 11.75.…
WIZARA ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeruhusu vilabu vya soka nchini kuendelea kusajili wachezaji 10 wa kigeni, hatua iliyochukuliwa baada ya kuzingatia maoni ya…
CHARLES Ilanfya, nyota mpya ndani ya Simba kwa msimu wa 2020/21 akitokea KMC amesema kuwa hana hofu na ufalme wa Meddie Kagere na John Bocco…
MATAJIRI wa Azam FC, wamekubali kumuachia kiungo wao mchezeshaji fundi, Salum Abubakary ‘SureBoy’ kwenda kuichezea Yanga kwa masharti ya kuweka dau kubwa mezani ili kumpata…
NYOTA hawa wa Yanga, jana Agosti 10 walianza mazoezi ikiwa ni maandalizi ya msimu wa 2020/21. Meneja wa zamani ambaye amerejeshwa kazini, Hafidhi Saleh alianza…
Feisal Salum kiungo ndani ya Klabu ya Yanga kwa mujibu wa Injinia Hersi Said Mkurugenzi wa Uwekezaji kampuni ya GSM ambao ni wadhamini wa Klabu…