HAWA HAPA WAMETWAA TUZO ZA VPL LEO, MLIMAN CITY
WAAMUZI Abdallah Mwinyimkuu, Ferdinand Chacha,Mohamed Mkono, Athuman Lazi wakiwa na Tuzo za Seti Bora ya Waamuzi waliyoshinda kwa kuchezesha vyema mchezo wa Ligi Kuu…
WAAMUZI Abdallah Mwinyimkuu, Ferdinand Chacha,Mohamed Mkono, Athuman Lazi wakiwa na Tuzo za Seti Bora ya Waamuzi waliyoshinda kwa kuchezesha vyema mchezo wa Ligi Kuu…
MENEJA wa Simba, Patrick Rweyemamu leo Agosti 7 amepokea Tuzo ya Mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa niaba ya Meddie Kagere raia wa…
LEO Agosti 7, uongozi wa Klabu ya Yanga umetangaza rasmi kuachana na nyota wao wawili, Kelvin Yondani na Juma Abdul baada ya kushindwa kufikiana makubaliano. …
LEO Agosti 7 Ukumbi wa Mlimani City ni kilele cha usiku wa Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom kwa msimu wa 2019/2020. Tayari washiriki wameshawasili ili…
KAZI imeanza sasa kwenye upande wa usajili ndani ya ardhi ya Bongo ambayo huwa haishiwi matukio hasa kinapofika kipindi cha usajili. Nakumbuka kuna wakati…
TUMESHUHUDIA fainali ya Kombe la Shirikisho ikikamilika kwa bingwa kupatikana kwenye mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa pale Uwanja wa Nelson Mandela. Nelson Mandela ilikuwa na…
KIUNGO Cleophace Mkandala “iniesta” aliyekuwa anakipiga Tanzania Prisons amekamilisha idadi ya wachezaji watatu wapya ambao wamejiunga na Dodoma Jiji FC kwa mkataba wa miaka miwili.…
MBWANA Samatta, nyota wa Tanzania anayekipiga Klabu ya Aston Villa ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) amemtaka msanii, Alikiba ‘asimfokee‘ na kumtambia kuelekea kwenye mchezo wa…
SHEREHE za tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom zinatarajiwa kufanyika leo, Agosti 7,2020 katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Hii hapa orodha…
MABINGWA wa Ligi Kuu England, Liverpool wamekutana na kizingiti kutoka Norwich City kumpata beki Jamal Lewis ili aibukie ndani ya Uwanja wa Anfield hasa kwa…