MTUPIAJI NAMBA MOJA MBAO FC AMLILIA MKAPA, ATAJA SABABU ZA KUMKUMBUKA
WAZIR Junior, mshambuliaji namba moja wa kikosi cha Mbao FC amesema kuwa kifo cha Benjamin Mkapa aliyekuwa rais wa awamu ya tatu kimeacha pengo kwa…
WAZIR Junior, mshambuliaji namba moja wa kikosi cha Mbao FC amesema kuwa kifo cha Benjamin Mkapa aliyekuwa rais wa awamu ya tatu kimeacha pengo kwa…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa atakuwa na wakati mgumu mbele ya Lipuli kwa kukosa huduma ya nyota wake Lamine Moro na Deus…
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa umempa ruhusa kocha wa timu hiyo, Aristica Cioaba raia wa Romania kusajili wachezaji kufikia hata 15 kwa ajili ya…
TIMU ya Simba leo Julai 24 imeifuata Polisi Tanzania ya Moshi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Julai 26.Seleman Matola ambaye ni Kocha Msaidizi…
TIMU ya Yanga leo imeanza safar kuelekea mkoani Iringa kwa ajili ya kujiaandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Julai 26, Uwanja wa Samora…
TETESI za soka zinaeleza kuwa Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania na mshambuliaji wa Klabu ya Aston Villa ya nchini Uingereza, Mbwana Samatta anahusishwa…
MATUMAINI ya Yanga na Azam FC kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, huenda yakatimia endapo kauli ya Shirikisho la Soka Afrika…
NGUMU kuamini unapopokea taarifa ngumu hasa kwenye wakati mgumu kuwa yale mambo uliyokuwa ukihitaji kuyafanya yote yamevurugikavurugika lazima kichwa kipasuke kwa kuwa hukujiandaa kupata taarifa…
MAUMIVU mengine huwa ni magumu kuyeyuka ndani ya mioyo kutokana na matokeo ambayo unayapata kutokuwa kwenye hesabu mwanzo unavyoanza. Hakuna ambaye alitarajia leo kungekuwa na…
Julai 26,2020 hizi hapa mechi za mwisho mzunguko wa 38:-Alliance FC v Namungo FC, Uwanja wa Nyamagana -Mwanza). Mbao FC v Ndanda FC, Uwanja wa CCM Kirumba…