Uncategorized

SIMBA YAIFAUATA POLISI TANZANIA, MOSHI KUMALIZA NGWE YA MWISHO

admin July 24, 2020 11:47 am

TIMU ya Simba leo Julai 24 imeifuata Polisi Tanzania ya Moshi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara  utakaopigwa Julai 26.

Seleman Matola ambaye ni Kocha Msaidizi wa kikosi hicho alikinoa kikosi hicho kabla ya kuibukia Simba.

Mchezo wa Kwanza uliochezwa Uwanja wa Taifa, Simba ilishinda mabao 2-1.

Bao la ushindi lilifungwa na Ibrahim Ajibu dakika za lala salama na kuipa pointi tatu Simba.

Timu zote mbili zina uhakika wa kubaki ndani ya Ligi, Simba ni Mabingwa wana pointi 85 wakiwa nafasi ya Kwanza na Polisi Tanzania ipo nafasi ya 5 na pointi 55 zote zimecheza mechi 37.

BERNARD MORRISON NI PASUA KICHWA YANGA YAIFUATA LIPULI, YATOA HESHIMA KWA HAYATI MKAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply