YANGA WATOA TAMKO KUHUSU BERNARD MORRISON
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa suala la Bernard Morrison kiungo mshambuliaji kucheza chini ya kiwango na kuondoka baada ya dakika 64 alizotumia uwanjani…
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa suala la Bernard Morrison kiungo mshambuliaji kucheza chini ya kiwango na kuondoka baada ya dakika 64 alizotumia uwanjani…
BEKI wa kulia wa Yanga, Paul Godfrey ‘Boxer’ amemtaja kocha Mwinyi Zahera, akidai kuwa ndiye kocha asiyeweza kumsahau maishani mwake, huku akitangaza kujipanga na vita…
OLE Gunner Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa sare waliyopata jana kwa kufungana mabao 2-2 dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu…
UONGOZI wa Namungo FC umesema kuwa una kazi kubwa ya kupambana na Simba kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho unaotarajiwa kuchezwa Agosti 2,…
MASTAA wawili wa Simba, Meddie Kagere na John Bocco wameula kwenye tuzo za wachezaji bora wa Ligi Kuu Bara kwa mwezi Machi na Juni.Kwa mujibu…
Nahodha wa Yanga Papy Tshishimbi amesema matukio ya kucheza katika kiwango duni kwa mshambuliaji wao Bernard Morrison ni makosa ambayo yametokana na mapungufu ya aina…
MTUPIAJI namba moja ndani ya Mbao FC iliyo chini ya Kocha Mkuu Felix Minziro, Wazir Jr amesema kuwa kikubwa kinachombeba ni kufuata maelekezo ya mwalimu…
NA SALEH ALLY USIJALI nani alionekana bora au kushinda au kupoteza baada ya mechi ya jana ya watani Simba na Yanga. Unajua namna kulivyokuwa na…
MSHAMBULIAJI namba moja wa Klabu ya Simba Meddie Kagere amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Machi wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu wa 2019/20. Kagere…
KOCHA Mkuu wa Klabu ya KMC, Hererimana Haruna amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Machi wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu wa 2019/2020.Hererimana alitwaa…