HIKI NDICHO WANACHOKIFANYA YANGA ILI NIYONZIMA AIWAHI SIMBA
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa anafanya maombi ili kiungo wake Haruna Niyonzima awe fiti Julai 12 Kwenye mechi dhidi ya Simba, Uwanja…
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa anafanya maombi ili kiungo wake Haruna Niyonzima awe fiti Julai 12 Kwenye mechi dhidi ya Simba, Uwanja…
UONGOZI wa Simba umesema kuwa shukran kubwa za kutwaa ubingwa wanazirejesha kwa Mungu pamoja na mashabiki wa Klabu hiyo kwa kuipa sapoti mwanzo mwisho.Leo Simba…
Kesho ndani ya Gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
WAZIR Junior, mshambuliaji namba moja ndani ya Mbao FC leo amefunga bao pekee la ushindi kwa timu yake mbele ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa…
Dakika ya 45 zimekamilika zinaongezwa dakika 2Dakika ya 42 Kagera Sugar wanaanzisha safari kwenda Kwa ShikhaloDakika ya 33 Nyosso anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea…
HIKI hapa kikosi cha Yanga kitakachoanza leo dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kaitaba, Julai 8
Zinaongezwa dakika 3Dakika ya 45 John Kelvin wa Namungo anakosa kufunga ndani ya 18 kwa pasi ya Abeid ambaye alionyeshwa kadi dakika ya 43Dakika ya…
KIKOSI cha Kagera Sugar dhidi ya Yanga leo Uwanja wa Kaitaba, Julai 8
MIKONO ya Rahim Sheikh, kipa anayekipiga ndani ya Mbao FC inayonolewa na Felix Minziro maarufu kama Baba Isaya imeweka lango lake salama kwa muda wa…
UONGOZI wa Simba unavutana na kiungo wa Yanga, Mkongomani, Papy Tshishimbi, anayetaka dau la usajili la dola 50,000 (zaidi ya Sh mil 115) na mshahara…