LIPULI IPO FITI KUWAVAA POLISI TANZANIA LEO
NZEYIMANA Mailo, Kocha Mkuu wa Lipuli amesema kuwa wachezaji wake wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi…
NZEYIMANA Mailo, Kocha Mkuu wa Lipuli amesema kuwa wachezaji wake wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi…
SIXTUS Sabilo, mtupiaji namba moja ndani ya Klabu ya Polisi Tanzania amesema kuwa kazi kubwa waliyonayo ni kuendelea pale walipoishia wakati Ligi Kuu Bara iliposimamishwa…
KOCHA Mkuu wa Mbao FC, Felix Minziro amesema kuwa ana matumaini makubwa na wachezaji wake watapambana kubaki kwenye Ligi Kuu Bara msimu wa 2020/21.Minziro amepewa…
KESHO Uwanja wa Taifa wanaume 22 miguu yao itapambana kusaka pointi tatu ndani ya Ligi Kuu Bara.Kwa mujibu wa takwimu hizo, Azam FC imekutana na…
HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga amesema kuwa wana mahusiano ya ukaribu kikazi na Ofisa Habari wa Simba Haji Manara. Bumbuli anasimamia kitengo…
INAELEZWA kuwa kiungo wa zamani wa Klabu ya Simba aliyetwaa tuzo ya kiungo bora ndani ya Simba kwa msimu wa 2018/19 anaweza kuibuka muda wowte…
UONGOZI wa Gwambina FC umesema kuwa Transit Camp wanawapa tiketi yao ya kushiriki Ligi Kuu Bara msimu wa 2020/21. Gwambina FC iliyo nafasi ya kwanza…
MOJA ya timu ambazo zina uhakika wa kushiriki Ligi Kuu Bara msimu ujao wa 2020/21 ni Gwambina FC ya Mwanza kutokana na hesabu zake kuelekea…
KESHO Uwanja wa Taifa patachimbika kwa mechi kali kati ya Yanga dhidi ya Azam FC ambayo ni ya Ligi Kuu Bara. Yanga itaingia uwanjani ikiwa…
OLE Gunnar Solskajaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa kiungo wake Paul Pogba ni miongoni mwa wachezaji bora ulimwenguni kutokana na uwezo wake ndani…