ZANA COULIBARY ATAKA KUREJEA BONGO
INAELEZWA kuwa Zana Coulibary nyota wa zamani wa Simba amevunja mkataba na mabosi wake AS Vita ya Congo.Zana alikipiga ndani ya Simba il iliyotinga hatua…
INAELEZWA kuwa Zana Coulibary nyota wa zamani wa Simba amevunja mkataba na mabosi wake AS Vita ya Congo.Zana alikipiga ndani ya Simba il iliyotinga hatua…
Maproo wa kazi ndani ya Yanga kwenye mabao 31 wao wamehusika katika mabao tisa. Kiungo Haruna Niyonzima amepachika bao moja mbele ya Singida United wakati…
SASA rasmi kiungo mshambuliaji wa Simba, Hassani Dilunga, amesaini mkataba wa miaka miwili ya kuendelea kukipiga Msimbazi baada kufikia muafaka mzuri kwa dau la Sh…
DAVID Molinga, mtupiaji namba moja ndani ya Yanga alikuwa na mpango wa kusepa Bongo kabla ya Machi 18 baada ya Ligi Kuu Bara kusimamishwa Machi…
MIRAJ Athuman, ‘Sheva’ kiungo mshambuliaji ndani ya Klabu ya Simba amemkosha Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck ambaye amesema kuwa ana imani msimu ujao atafanya mambo makubwa.Sheva…
Rekodi ya mechi ambazo timu moja waliokota mabao zaidi ya matatu nyavuni:- Alliance 4-1 Mwadui, Februari 19 Uwanja wa Nyamagana Mwanza.David Rishard alitupia matatu na…
DANIEL Mgore mlinda mlango wa Biashara United anatajwa kuwekwa kwenye rada za mabosi Azam FC ambao wanahitaji saini yake jumlajumla. Habari zinaeleza kuwa tayari mabosi…
MBAO FC wao wanajiita wabishi ni Klabu ambayo inapatikana kanda ya ziwa ikiwa chini Kocha Mkuu, Abulmutik Haji ambaye msimu wa 2018/19 alikuwa ndani ya…
HASSAN Dilunga, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa janga la Corona limetibua mipango mingi ambayo ilibidi iendelee.Kabla ya Ligi Kuu Bara kusimamishwa Machi 17 na…
UONGOZI wa Namungo FC umesema kuwa iwapo Yanga inahitaji saini ya nyota wao Bigirimana Blaise ni suala la kuzungumza kwani inawezekana.Imekuwa ikielezwa kuwa Yanga inahitaji…