admin
VPL: MTIBWA 0-0 SIMBA
Mtibwa Sugar 0-0 Simba Kipindi cha kwanzaUwanja wa Jamhuri, MorogoroMTIBWA Sugar leo wameikaribisha Simba Uwanja wa Jamhuri, Morogoro ukiwa ni mchezo wa mzunguko wa...
MWANA WA UBUNGO ALIYEIBUKA NA SH MILIONI 400 NA USHEE ZA...
Mkazi wa jiji la Dar es Salaam ambaye mwishonimwa wiki aliibuka mshindi wa jackpot ya SportPesa ya kitita cha zaidi ya Tshs milioni 437...
JESHI LA MTIBWA SUGAR LEO DHIDI YA SIMBA
JESHI la Mtibwa Sugar leo dhidi ya Simba, Uwanja wa Jamhuri
WAAMUZI WASIMALIZIE HASIRA ZAO MGONGONI MWA YANGA, SIMBA
Na Saleh AllyNDANI ya wiki mbili kumekuwa na malalamiko mfululizo kuhusiana na uchezeshaji wa waamuzi katika Ligi Kuu Bara.Mwanzo ilianza kama vile Simba walikuwa...
KUSHINDA KWA MBINDE KWA SIMBA SI UDHAIFU WA SVEN
Na Saleh AllyKOCHA Mkuu wa Simba, Sven van der Broeck ndio amefikisha mechi 15 tangu aanze kuinoa Simba akichukua nafasi ya Patrick Aussems, raia...
MTANZANIA MWENGINE AIBUKA MSHINDI WA JACKPOT YA SPORTPESA YA MILIONI 437,631,320
Mkazi wa jiji la Dar es Salaam Bwana Yassin Ridhiwani Ally ameibuka mshindi katika jackpot SportPesa wiki hii kwa kujishindia kitita cha zaidi ya...
NYOTA HUYU CIRO NI BALAA, ANAMNYIMA USINGIZI CR 7
CIRO Immobile anakipiga ndani ya Lazio inayoshiriki Serie A ni mbabe wa kucheka na nyavu.Ametupia jumla ya mabao 25 ndani ya Ligi hiyo akimtupa...
LIGI KUU BARA LEO IMECHI ZAKE HIZI HAPA
VPL Leo ratiba leo Ligi Kuu Bara inaendelea na mechi zake zipo namna hii:-Azam v Polisi, Uhuru.Singida United v Namungo, Namfua.Lipuli v JKT, Samora.Mwadui...