MTUPIAJI LIGI KUU BARA AMTAJA BOCCO WA SIMBA KUWA MCHEZAJI HATARI
DARUESH Saliboko, mshambuliaji wa Lipuli amesema kuwa miongoni mwa washambuliaji ambao hupenda kujifunza mambo mengi kutoka kwake ni pamoja na John Bocco anayekipiga ndani ya…
DARUESH Saliboko, mshambuliaji wa Lipuli amesema kuwa miongoni mwa washambuliaji ambao hupenda kujifunza mambo mengi kutoka kwake ni pamoja na John Bocco anayekipiga ndani ya…
INAELEZWA kuwa msimu huu wa 2019/20 utakuwa wa mwisho kwa kiungo mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajibu kukipiga ndani ya Simba. Ajibu alitua Simba akitokea Yanga…
IKIWA zimepita Siku kadha a baada ya kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima kuvuta jiko la pili ameibuka na kuwataka wachezaji kuendelea kulinda mipango vyao katika…
BEKI Kisiki wa Yan ga, Kelvin Yondani ambaye aliwahi kuwa nahodha wa kikosi hicho inaelezwa kuwa miongoni mwa mabeki anaowakubali ndani ya Bongo ni pamoja…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu
LORENZO Pellegrini nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya Roma inayoshiriki Serie A ameziingiza vitani Inter Milan na Juventus ambazo zinaiwinda saini yake.Kiungo huyo anayevaa jezi…
UONGOZI wa Yanga umewaomba mashabiki na wanachama wa klabu hiyo kulipokea Jarida la Yanga kwa kununua zaidi nakala.Yanga hivi karibuni ilizindua jarida hilo ambalo linahusu…
MOHAMED Hussein, ‘Tshabalala’ nahodha msaidizi wa Simba ni miongoni mwa mabeki wenye urafiki na nyavu na mabao yake yote amezitungua timu za makampuni ya miwa.Bao…
HASSAN Kibailo, beki wa kulia wa Klabuya Coastal Union amesema kuwa atataja atakapokuwa msimu ujao pale msimu utakapokamilika.“Bado ligi haijaisha hivyo siwezi kuzungumza kuwa nitakuwa…