YANGA YAWAOMBA MASHABIKI KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI
PAPY Kambamba Tshishimbi, nahodha wa Yanga amesema kuwa ni muhimu kila mmoja kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona ambavyo ni janga la dunia kwa…
PAPY Kambamba Tshishimbi, nahodha wa Yanga amesema kuwa ni muhimu kila mmoja kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona ambavyo ni janga la dunia kwa…
KLABU ya Pamba Sport Club ya Mwanza kwa kushirikiana na Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo la Nyamagana wamekabidhi uongozi wa Soko Kuu Mwanza Mbugani, vifaa vya…
MOHAMED Salah, raia wa Misri, nyota wa Liverpool amecheza mechi 100 ndani ya Liverpool tangu ajiunge nayo mwaka 2017 akitokea Klabu ya Roma ametupia jumla…
FRANCIS Kahata, kiungo mshambuliaji ndani ya Klabu ya Simba amesema kuwa imani yake ni kwamba siku moja kila kitu kitakuwa sawa kwa msaada wa Mungu.Kahata…
Na Saleh Ally WAKATI akisajiliwa Yanga, Kocha Mkuu wakati ule, Mwinyi Zahera alijigamba kuwa mshambulizi wake mpya, David Molinga atawaonyesha kazi. Baada ya muda, alimuweka…
NA SALEH ALLY NILIKUWA naangalia kiungo kinda wa FC Barcelona, Moussa Wague alivyoamua kutoa misaada ya chakula na mafuta tani 12 katika eneo alilozaliwa la…
JUMA Mgunda,Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa kwa sasa hafikirii kuhusu masuala ya usajili. Mgunda ni miongoni mwa makocha wazawa ambao wanafanya vizuri kwa sasa…
LIONEL Messi, mshambuliaji namba moja ndani ya Barcelona bado anaushawishi uongozi wa klabu yake uipate saini ya Neymar Jr.Inaelezwa kuwa Messi amemchagua Neymar badala ya…
MOHAMED Hussein, ‘Tsha balala’ nahodha msaidizi wa Simba amesema kuwa kwa sasa anaendelea kufanya mazoezi binafsi pamoja na kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona.…
IMEEELEZWA kuwa Yanga inasubiri neno kutoka kwa Kocha Mkuu, Luc Eymael ili kumalizana na mastaa walio Kwenye rada zao ambao ni Relliants Lusajo na Lukas…