KINACHOMSOTESHA BENCHI KABWILI HIKI HAPA
RAMADHAN Kabw ili, mlinda mlango namba tatu wa Yanga amesema kuwa kinachomkosesha namba ndani ya kikosi hicho ni ushindani wa namba pamoja na chaguo la…
RAMADHAN Kabw ili, mlinda mlango namba tatu wa Yanga amesema kuwa kinachomkosesha namba ndani ya kikosi hicho ni ushindani wa namba pamoja na chaguo la…
AZAM FC na Klabu ya Namungo zipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kiungo Cleophance Mkandala anayekipiga ndani ya Tanzania Prisons. Kiungo huyo amekuwa kwenye…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Jumapili
OBREY Chirwa, mshambuliaji wa Azam FC ameongeza kandarasi ya mwaka kuendelea kuitumikia Azam FC huku ikitajwa kuwa sababu kubwa ni kuthamini mchango wa nyota huyo…
MWEKEZAJI wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ ameonekana kupania kuwabakisha mastaa wake wote muhimu wanaomaliza mikataba yao, na sasa ni zamu ya kiungo mkabaji Mzamiru Yassin…
KAMPUNI ya Global Publishers leo imefanikiwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa kituo cha kulelea watoto yatima cha Masjid-Ngamia kilichopo Kangaye,Wilayani Ilemela jijini mwanza.katika msaada…
Kesho ndani ya Gazeti la SPOTIXTRA Jumapili usipange kukosa nakala yako Jero tu
MWANAMUZIKI Nasibu Abdul, ‘Diamond Platinumz’ amesema kuwa atachangia ‘kodi ya pango’ kwa kaya 500 nchini kwa ajili ya kupunguza makali ya kiuchumi wakati huu ambapo Watanzania…
Klabu ya soka ya Afc Arusha imetangaza kifo cha Kocha Msaidizi wa klabu hiyo Luke Juma kilichotokea hapo Jana.Habari iliyotolewa leo kwa vyombo vya Habari…