PAMOJA NA KIWANGO KIKUBWA..STARS YABAKI PALEPALE FIFA
TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeendelea kubaki nafasi ya 134 kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) vya mwezi Machi…
TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeendelea kubaki nafasi ya 134 kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) vya mwezi Machi…
Kesho ndani ya SPOTIXTRA Ju mapili usipange kukosa
WAKALA Kassa Mussa ambaye anamuwakilisha beki chipukizi anayekipiga kwenye timu ya Coastal Union, Bakari Nondo Mwamnyeto amekanusha uvumi unaoendelea kuhusu mchezaji wake kuhusishwa na kujiunga…
KIUNGO wa Polisi Tanzania, Baraka Majogoro amesema kuwa kama asingekuwa Haruna Niyonzima kurejeshwa katika kikosi cha Yanga basi yeye angekuwa mmoja wa wachezaji wa timu…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa hauwezi kushindwa kuinasa saini ya nyota wa Simba, Clatous Chama iwapo watahitaji kumpata.Kumekuwa na tetesi za Yanga kuiwinda saini ya…
UONGOZI wa KMC umesema kuwa kwa sasa wachezaji wote wamepewa program ya kufanya wakiwa kwenye mapumziko kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona.Akizungumza na Saleh Jembe,…
SALUM Abubakar,’Sure Boy’ kiungo anayekipiga ndani ya Azam FC iwapo dili lake la kutua Yanga litajibu basi itaongeza vita ya namba. Kwa sasa Yanga ina…
ERASTO Nyoni beki kiraka wa timu ya Simba bao lake la kwanza la kichwa msimu huu ndani ya Ligi Kuu Bara aliwafunga Azam FC ambao…
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa umewatumia fedha wachezaji wao wawili, Yakub Mohamed na Razack Abarola kutokana na kushindwa kurejea nchini kwa sasa. Wachezaji hao…
CHARLES Mkwasa, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wanawafuatilia wachezaji amba hawatafuata program waliyoachiwa adhabu itawahusu. Benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha…