USAJILI WA MWAMNYETO SIMBA ITAPENDEZA ZAIDI
WAKATI Simba ikitajwa kumalizana na beki wa kati wa Coastal Union, Bakari Mwamnyeto, kiungo wa zamani wa Polisi Mara, Musa Keita amesema Wekundu hao wa…
WAKATI Simba ikitajwa kumalizana na beki wa kati wa Coastal Union, Bakari Mwamnyeto, kiungo wa zamani wa Polisi Mara, Musa Keita amesema Wekundu hao wa…
HUKU ikielezwa kwamba Kocha Luc Eymael amewaambia viongozi hatamuongezea mkataba, David Ndama Molinga ‘Falcao’ yeye ana ishu yake ambayo akiwaambia viongozi itakuwa sapraizi kubwa kwao.…
MRISHO Ngassa, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kwa sasa amejichimbia Mwanza huku akichukua tahadhari ya kujilinda na Virusi vya Corona.Ligi Kuu Tanzania Bara kwa…
EDINSON Cavani anamatumaini ya kucheza La Liga katika msimu ujao wa ligi, hii baada ya dirisha lililopita la Januari kukwama. Atletico ilikuwa mbioni kukamilisha usajili…
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars, Etienne Ndayiragije amesema kuwa wachezaji wanapaswa wasikae bila kufanya mazoezi wakati huu wakiwa hawachezi.Ligi nyingi zimesimama…
SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa ni ngumu kuwafuatilia wachezaji kwa wakati huu kama wanafanya mazoezi au la.Kwa sasa Ligi Kuu Tanzania Bara…
UPO uwezekano mkubwa wa mastaa wakubwa Simba kutimka kwenye klabu hiyo kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara baada ya kupata ofa nono za kucheza…
UONGOZI wa Manchester City ambao ni mabingwa watetezi wa Kombe la Ligi Kuu England umethibitisha kutokea kifo cha mama mzazi wa Kocha Mkuu Pep Guardiola…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa wachezaji wao wote wamekuwa wakionyesha juhudi za kufanya mazoezi wakati huu wa mapumziko jambo ambalo linapaswa liwe na mwendelezo muda…
INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba upo kwenye mazungumzo na nyota wao wa zamani, Emannuel Okwi ili arejee tena kukipiga kwa mabingwa hao watetezi wa Ligi…