SAGNA: ARSENAL ITAFANYA MAKOSA KUMUUZA AUBAMEYANG
BEKI wa zamani wa kikosi cha Arsenal, Bacary Sagna amesema kuwa klabu hiyo itafanya makosa makubwa iwapo itamuuza nahodha wao, Pierre-Emerick Aubameyang. Nahodha wa Arsenal…
BEKI wa zamani wa kikosi cha Arsenal, Bacary Sagna amesema kuwa klabu hiyo itafanya makosa makubwa iwapo itamuuza nahodha wao, Pierre-Emerick Aubameyang. Nahodha wa Arsenal…
JAFFARY Kibaya nyota anayekipiga ndani ya Mtibwa Sugar amesema kuwa wakati huu wa Virusi vya Corona ni muhimu kwa wachezaji kulinda viwango vyao na kuchukua…
WOJCIECH Szczesny mlinda mlango wa Juventus amewekwa sokoni ili kutunisha mfuko wa mabosi wa Juventus. Mkataba wa nyota huyo ndani ya Juventus unameguka mwaka 2024…
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa wachezaji wamepewa kazi kubwa ya kuwa mabalozi kwenye familia zao na kujilinda na Virusi vya Corona.Kwa…
MOHAMED Rashid,’Mo Rashid’ nyota anayekipiga ndani ya JKT Tanzania kwa mkopo akitokea Klabu ya Simba amesema kuwa kwa sasa anapiga dozi ya mazoezi mara mbili…
HARUNA Niyozima, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa ni busara kwa wachezaji kufanya mazoezi wakati huu wa mapumziko na kujilinda dhidi ya Virusi vya Corona.Niyonzima…
BEKI chipukizi wa Coastal Union, Bakari Nondo amesema kuwa amekuwa akivutiwa na uwezo wa wazawa wanaokipiga ndani ya Simba na Yanga kutokana na uwezo wao.Ukuta…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa umemtumia salamu za kumtakia maisha marefu nahodha wao Papy Tshishimbi ambaye leo anatimiza miaka kadhaa.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Uhamasishaji…
WAZIRI Jr mshambuliaji anayekipiga ndani ya Mbao FC amesema kuwa kwa sasa anajifua ili kulinda kipaji chake pamoja na kuchukua tahadhari ya Virusi vya Corona.Jr…
JAMES Kotei, kiraka wa zamani wa Simba amesema kuwa iwapo mabosi wake wa zamani watahitaji saini yake hana tatizo nao kwani hawakuzinguana.Nyota huyo kabla ya…