Latest Posts

SURE BOY WA AZAM FC RUKSA KUIBUKIA YANGA

SALUM Abubakar ‘Sure Boy’ amepewa ruhusa ya kujiunga na Yanga ama klabu yoyote inayomuhitaji kama wataenda mezani na kuafikiana kuhusu dau. Sure Boy amecheza kwa mafanikio makubwa…

NIYONZIMA WA YANGA ATAJA KILICHOMFELISHA SIMBA

HARUNA Niyonzima, raia wa Rwanda anayekipiga ndani ya Yanga kwa sasa amesema kuwa kilichomfelisha kucheza mechi nyingi alipokuwa ndani ya Simba ni majeraha.Alipokuwa akikipiga Simba…

MAJUU MWENDO WA 11 UPO NAMNA HII

WAKATI La Liga ikiwa imesimama kutokana na kupambana na maambukizi ya Virusi vya Corna kuna wachezaji ambao wametupia mabao 11 ndani ya klabu zao.Mwendo wa…