Uncategorized

FEI TOTO: NINACHUKUA TAHADHARI YA CORONA NA KUFANYA MAZOEZI

admin April 1, 2020 7:14 am


KIUNGO Mkabaji wa timu ya Yanga, Feisal Salum, ‘Fei Toto’ amesema kuwa kwa sasa anaendelea kufanya mazoezi ili kuwa bora na anachukua tahadhari ya kujilinda na Virusi vya Corona.

Kwa sasa Ligi Kuu Bara imesimama kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona.

Fei Toto amesema:” Kuna vingi ambavyo tunavikosa lakini ni muhimu kujali na kufikiria afya zetu kwani ni muhimu kuliko kitu kingne kwanza.

“Nafanya mazoezi ili kuwa bora na ninachukua tahadhari kuhusu Corona imani yangu hali itakuwa poa na tukirudi nitakuwa kwenye ubora,” amesema.

BALAA LA LEWANDOWSKI LIPO NAMNA HII MAJUU MWENDO WA 11 UPO NAMNA HII

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply