Latest Posts

KOCHA ARSENAL AWAPA TANO WACHEZAJI WAKE

MIKEL Arteta Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa wachezaji wake wamekuwa wakicheza kwenye kiwango anachokipenda.Arteta amekuwa akiwatumia makinda kwenye mechi za hivi karibuni na wakati…

MUUAJI WA SIMBA ATOA NENO LAKE LA MOYONI

BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa alichokifanya mbele ya Simba ni sehemu ya kitu anachokipenda na imetokana na sapoti ya mashabiki kujitokeza kwa…