RATIBA YA MECHI ZA LIGI KUU BARA HII HAPA
HII hapa ratiba za mechi za wiki hii ndani ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni zmunguko wa pili:-
HII hapa ratiba za mechi za wiki hii ndani ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni zmunguko wa pili:-
Kitu gani kinawatesa Singida United? Hilo ni swali gumu au kitendawili kigumu kukitegua kwa watu. Kinaweza kikawa kitendawili kigumu kukitegua kwa sababu moja tu sisi…
FEBRUARI ndo imeshameguka kwa kasi kisha mwezi Machi upo kwa hewa ndipo tutaukaribisha mwezi Aprili ambao unatarajiwa kuwa na tukio kubwa kwenye ulimwengu wa soka…
KUELEKEA mchezo wa watani wa jadi unaotarajiwa kucheza Machi 8, 2020 Uwanja wa Taifa Shirikisho la Soka la Mpira Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mechi…
PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester Ciy amesema kuwa haikuwa kazi nyepesi kushinda ubingwa mbele ya Aston Villa kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la…
IDD Cheche aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Azam FC ameondolewa kwenye benchi hilo la ufundi na kumuacha Kocha Mkuu Arstica Cioaba.Cheche ameondolewa kwenye benchi la ufundi…
UONGOZI wa Simba umesema kuwa utaanza kuipigia hesabu Yanga baada ya kumalizana na Azam FC kwenye mchezo wao wa Ligi utakaochezwa Machi 4, Uwanja wa…
DITRAM Nchimbi, mshambuliaji mwenye miguvu akiwa ndani ya uwanja amesema kuwa akipata nafasi kesho mbele ya Mbao atapambana kuipa ushindi timu yake kwa kushirikiana na…
ARSTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC, Jumatano ana kibarua kizito mbele ya Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Uwanja wa Taifa majira…
LIONEL Messi nahodha wa Barcelona hakuwa na ujanja mbele ya wapinzani wake Real Madrid zaidi ya kushuhudia wakichapwa mabao 2-0 mchezo wao wa La Liga.Mabao…